Friday, September 1, 2017

BREAKING NEWS: MATOKEO YA UCHAGUZI KENYA YAFUTWA NA MAHAKAMA

Tags


BREAKING NEWS: MAHAKAMA YA KENYA YAFUTA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA URAISI



Mahakama ya Juu nchini Kenya imefutilia mbali matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika mapema mwezi uliopita katika uamuzi kuhusu kesi iliwasilishwa na muungano wa upinzani National Super Alliance. 

Uchaguzi utarudiwa  katika siku 60 zijazo.
Habari zaidi tutakuletea hapo baadae,endelea kutembelea MICHAKATOYETU BLOG (www.michakatoyetu.com)


EmoticonEmoticon