Wednesday, September 20, 2017

MABADILIKO YA RATIBA YA VODACOM LIGI (VPL)

Tags


Mechi ya mwendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Singida United vs Kagera Sugar umesogezwa mbele kwa takribani siku moja, ambayo itakuwa ni Jumapili tarehe 24-09-2017.
Mchezo huo ulikuwa uchezwe Jumamosi tarehe 23-09-2017 sasa umesogezwa hadi Jumapili tarehe 24-09-2017 kesho yake, mabadiliko haya yamefanyika kutokana na kuwa uwanja utakaotumika kwa ajili ya mchezo huo Jamuhuri kutumika kwa shughuli za Kijamii siku hiyo hiyo ya Jumamosi tarehe 23-09-2017.


EmoticonEmoticon