Wednesday, August 30, 2017

Arsenal yakubali kumwachia Sanchez kwa sharti hili.

Tags

Klabu ya Arsenal iko tayari kumuachia Alexis Sanchez asajiliwe Manchester City.

Lakini sharti lake ni kulipwa pauni milioni 70 na mshambuliaji Raheem Sterling.

Awali, Man City ilikuwa kutoa pauni milioni 50 na Sterling. Lakini Kocha Arsenal Wenger akasema watoe fedha hizo pamoja na mshambuliaji Kun Aguero, Man City nao hawakukubaliana nalo.

Hata hivyo kinachoonekana baada ya muda klabu hizo zitaelewana kabla ya dirisha kufungwa kesho saa sita usiku.


EmoticonEmoticon