Thursday, August 31, 2017

SIMBA SC: IDD YA KESHO KUKIPIGA MECHI YA KIRAFIKI NA WAPEMBA

Tags



Klabu ya Simba inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na 
Klabu ya Hard Rock SC, ya Kisiwani Pemba.

Simba kupitia kwa Afisa Habari wake Haji Manara amethibitisha Kuwa na Mechi ya Kirafiki siku ya Ijumaa tarehe 01 September 2017, siku ya (Eid Al Udh -ha) pale Uwanja wa Uhuru majira ya saa 16:00 jioni.


Ndugu Msomaji wa MICHAKATOYETU Blog Katika Mechi hiyi Manara ametaja kuwa kutakuwa na Zawadi mbali mbali, pia Viingilio vimetajwa kwa ajili ya mechi hiyo ambapo VIP itakuwa Tsh:5000/=
Mzunguko itakuwa Tsh:3000/=


EmoticonEmoticon