Monday, August 21, 2017

TAZAMA WALICHOKIFANYA WACHEZAJI WA CHELSEA

Tags






Baada ya Chelsea  kumuua spurs jumapili wachezaji walipofika vyumbani wakaanza kukata mauno. Hii ni Furaha yao baada ya wao kufa mchezo wa round kwanza na Burnley 3 kwa 2 Chelsea wakiwa nyumbani. Lakini jumapili ya juzi Chelsea wakiwa ugenini wanafanikiwa kumvunja kisiki Tottenham na furha hiyo ilikuwa zaidi kwa wabrazil willian na David Luis wakiungana na pengine.


EmoticonEmoticon