Ndugu msomaji wa MICHAKATO YETU BLOG Klabu ya Yanga leo Jumapili itashuka dimbani kutest mitambo dhidi ya Jamhuri katika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba, katika maandalizi ya mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Simba na msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, muda wa mechi hii utakuwa ni saa 16:00 za jioni na mechi hii itakuwa live kupitia Kingamuzi cha Azam Channel namba 106 Sports 2.
UNGANA NASI
Like Page yetu hapa chini ili uwe wa kwanza kupata habari zetu zote za Michezo na Usajili
Kama una picha,Video au Habari zinazohusu Michezo tutumie WhatsApp namba +255765503176
Saturday, August 19, 2017
MECHI YA YANGA LEO ITAKUWA LIVE HUKO PEMBA
Diterbitkan August 19, 2017
Tags
Artikel Terkait
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon