Friday, August 4, 2017

HILI NI PIGO KWA YANGA DHIDI YA SINGIDA UTD HAPO KESHO 05/08/2017

Tags


Klabu ya  Yanga imethibitisha kuikosa huduma ya Mshambuliaji wake "Obrey Chirwa" pamoja na Winga wake "Geoffrey Mwashiuya" katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Singida Unuted.

Chirwa na Mwashuiya  wataukosa mchezo huo  kutokana na majeraha waliyonayo.

Mchezo huo unatarijiwa kupigwa kesho katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam mida ya saa 10:00 jioni.


usisahau Ku share page hii kwenye magroup ya whatsap na Facebook bila kusahau mitandao mingine ya kijamii





EmoticonEmoticon