klabu ya Simba inawaomba radhi washibiki wa kandanda nchini kwa kuwa mchezo huo ulitaraji kuchezwa kesho, baina ya Simba na timu ya Jeshi ya Hard Hard Rock toka kisiwani Pemba haitakuwepo,na sasa mchezo huo utachezwa siku ya Jumapili hii ya tarehe 3-9-2017.
Ndugu Msomaji wa michakatoyetu Blog, Mchezo huo umesogezwa mbele kuwapisha Botswana ambao kesho watautumia uwanja wa Uhuru kwa ajili ya mazoezi yao ya mwisho kabla ya kuivaa Stars Jumamosi.
EmoticonEmoticon