Leo jumatano hii ndani ya uwanja wa majimaji mjini Songea NJOMBE MJI wanakipiga mechi ya kirafiki na timu ya ligi daraja la kwanza kutoka Songea JKT MLALE.
Njombe ni timu iliyopanda daraja kucheza ligi Kuu msimu huu wa 2017/2018
Hapo juu Hawa ni NJOMBE MJI wakiwa katika warming up
Hapo juu ni JKT MLALE wakiwa ktk warming up
Michezo utaanza saa 10.30 jioni hii
NJOMBE MJI kesho ALHAMISI 17/08/2017 wanataraji kukipiga na MAJIMAJI FC hapahapa uwanja wa majimaji
Endelea kuwa nasi kukujuza matokeo ya michezo huu




EmoticonEmoticon