Wednesday, August 2, 2017

IJUE NAMBA YA JEZI YA AISHI MANULA BAADA YA KUJIUNGA NA SIMBA

Tags

Manula apewa jezi no. 28 hii ni baada ya kujiunga na timu yake mpya ya wanamsimbazi simba  huko afrika kusini. Manula ameonesha kuikubali namba hiyo aliyo ituma kwenye ukurasa wake wa instr

Kipa huyo namba moja kwa sasa Tanzania amejiunga na simba kwa ridhaa ya timu yake ya zamani azam japo zilisalia siku chache kuisha mkataba wake.


EmoticonEmoticon