Friday, August 18, 2017

VUNJA MBAVU ZAKO HAPA

Tags



*Hivi ikitokea siku* *moja ukagundua* *kuwa meno yako yote ni Dhahabu, na* *thamani yake ni shilingi milioni KUMI kwa kila jino moja Utafanya nini?*
*Sema ukweli... maana kwa ninavyokujua.. utabaki kibogoyo*
    πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€“

*Mlevi mmoja alikuwa anakula ugali na samaki Mkewe akamwambia "Mume wangu angalia miba isije ikakuchoma" Mlevi akajibu "Usijali mke wangu nimevaa viatu"*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

   *Pombe sio chai*
πŸ˜¬πŸ˜¬πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜†




*MGANGA  ANAWEZA AKAWA ANADAWA ZOTE, LAKINI DAWA YA MENO YA KUPIGIA MSWAKI ANANUNUA KWA CHINGA*

*hapo ndo utaelewa Kwann muuza mkaa haogi mchana*

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†Ndo unaambiwa upambane na hali yako, we huelewi.



*binafsi mimi huwa napenda waschana wenye mizigo   tena mizigo mikubwa haswaa maana akija nao ukienda kumpokea lazima akupe jero ya soda...🀣🀣🀣 Endelea kuwaza ujinga*


Wakati unatamani baba yako angekuwa #Dangote.
Wakati huo huo baba yako naye anatamani we ungekuwa MBWANA SAMATTA 😁😁😁😁😁
Kumbukeni Shetani Anacheza na Akili zenu wote wawili πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜―πŸ˜―πŸ˜―


1 comments so far

BLOG HII HIPO KWAAJILI YAKO *TUNARECORD AUDIO, (singeli, bongo
flavour, hipop). *TUNAWEKA NYIMBO (AUDIO & VIDEO)
MTANDAONI KWA GARAMA NAFUU! (ILI UWEWAKWANZA KUPATA NGOMA
MPYA TAFADHARI FOLLOW BLOG HII) ---KWA MAWASILIANO PIGA & SMS
0762095324 --- THANKS!! THANKS!! THANKS!!


EmoticonEmoticon